Lowassa Anatalajia Kuanza Mikutano Ya Kuimarisha Chama Nchini kote hivi karibuni

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeneo (CHADEMA) na aliyekuwa Mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu uliopita kwa tiketi ya chama hicho na kuungwa mkono na UKAWA, Edward Lowassa akisalimiana na viongozi wa walemavu wilayani Monduli kwenye Mkutano wa kwanza wa kuimarisha chama nchi nzima. 



Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: