Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeneo (CHADEMA) na
aliyekuwa Mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu uliopita kwa tiketi ya
chama hicho na kuungwa mkono na UKAWA, Edward Lowassa akisalimiana na
viongozi wa walemavu wilayani Monduli kwenye Mkutano wa kwanza wa
kuimarisha chama nchi nzima.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment