Chanzo cha Tetemeko la aridhi Bukoba chajulikana,litadumu zaidi ya siku tano


Serikali imepeleka wataalamu wa Jiolojia katika eneo lililokumbwa na tetemeko Bukoba ili wakafanye utafiti wa kina kuhusu tetemeko hilo.
Imesema tetemeko limetokana na misuguano ya mapande makubwa ya ardhi iliyopasuliwa na mipasuko ya ardhi mithili ya mipasuko kwenye bonde la ufa.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: