Tazama Video MPYA: Nay wa Mitego leo ametambulisha hii video mpya ‘saka hela’ aliyoifanyia South Africa


Inawezekana uliwahi kumsikia msanii wa bongofleva Nay wa Mitego akisema kuwa hatokwenda kufanya video South Africa lakini ikitokea akaenda hiyo video itakua moto…. ndio hii katuletea hapa chini itazame kisha usiache kutuachia comment yako mtu wa nguvu ili akipita Nay pia ajue watu wake wameipokeaje.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: