TANZIA: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia(alipata shock baada ya kutumbuliwa)


Ndugu Wilson Kabwe, aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar na baadae kusimamishwa kazi mwanzoni mwa mwezi Mei, amefariki dunia.
Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana, ila tangu awali inadaiwa alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: