Mwanamuziki “Diamond Platinum’s” pamoja na Mafikizolo wakiimba wimbo wao wa Color of Afrika wakati wa
Tamasha la Vodacom Kichuo zaidi lillilofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma
(UDOM)
Mwanamuziki “Diamond Platinum’s” akiwaimbia kwa hisia zote mashabiki wake waliovunja rekodi zake mbalimbali,Tamasha la Vodacom Kichuo
zaidi lillilofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) jana.
Nyomi ya mashabiki wa muziki waliofika kwenye Tamasha la Vodacom Kichuo zaidi lillilofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
Msanii
wa muziki wa kundi la Mafikizolo,Theo
Kgosinkwe akionyesha jinsi alivyo noma katika kucheza muziki katika Tamasha la
Vodacom kichuo zaidi lililofanyika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) jana
0 comments:
Post a Comment