Msanii wa filamu na mfanyabiashara, Wastara Juma amefunguka na kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu maisha yake.
Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Wastara amesema licha ya kufanya filamu na kumuingizia pesa, lakini maisha yake kwa sehemu kubwa wanategemea biashara.
Pia Wastara amezungumzia maisha yake ya ndoa, kuhusu aliyekuwa mume wa Sadifa, baada ya kuachana watu wanamchuliaje iliwa ndoa hiyo idumu kwa miezi 3.
Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Wastara amesema licha ya kufanya filamu na kumuingizia pesa, lakini maisha yake kwa sehemu kubwa wanategemea biashara.
“Mimi ni mfanyabiashara kitambo sana, nina miaka karibu 19 nafanya biashara na na bado zinaendelea vizuri,” alisema Wastara.
Pia Wastara amezungumzia maisha yake ya ndoa, kuhusu aliyekuwa mume wa Sadifa, baada ya kuachana watu wanamchuliaje iliwa ndoa hiyo idumu kwa miezi 3.
0 comments:
Post a Comment