Mwili wa nguli Papa Wemba wawasili DRC


Mamia ya watu wamekusanyika leo nje ya uwanja wa ndege wa Kinshasa kuupokea mwili wa mwanamuziki Papa Wemba uliowasili nchini humo kutoka Abidjan

Mwanamuziki huyo ambaye ametajwa kuwa mmoja ya waanzilishi wa muziki wa kizazi kipya cha Soukous  alifariki dunia April 24 baada ya kuanguka jukwaani akiwa anatumbuiza huko Ivory Coast  

Papa Wemba anatarajiwa kuzikwa  siku ya Jumanne  ya wiki ijayo
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: