Birdman anakuja na filamu ya wasanii wa Cash Money


New Orleans rapper Lil Wayne sits with Birdman during the New Orleans Hornets NBA basketball game against the Miami Heat in New Orleans, Louisiana November 5, 2010. REUTERS/Sean Gardner (UNITED STATES - Tags: SPORT BASKETBALL ENTERTAINMENT)

Cash Money inakuja kwenye tv yako na filamu kubwa kuhusu maisha ya wasanii wa lebel hio pamoja na Birdman na Slim walivyoanzisha lebel hio.
Birdman amehamasika kufanya hivi kutokana na ukubwa wa filamu ya Dr. Dre na Ice Cube ya Straight Outta Compton, ujio wa filamu ya All Eyez On Me ya maisha ya Tupac.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: